Jeremiah 15:2
2 aNao kama wakikuuliza, ‘Twende wapi?’ Waambie, ‘Hili ndilo Bwana asemalo:
 “ ‘Wale waliowekwa kwa ajili ya kufa, wakafe;
 waliowekwa kwa ajili ya upanga, kwa upanga;
 waliowekwa kwa ajili ya njaa, kwa njaa:
 waliowekwa kwa ajili ya kutekwa, watekwe.’ ”
 
    Copyright information for
    
SwhNEN