Romans 3:10-12
10 aKama ilivyoandikwa:
 “Hakuna mwenye haki, hakuna hata mmoja.
  11Hakuna hata mmoja mwenye ufahamu,
 hakuna hata mmoja amtafutaye Mungu.
  12  bWote wamepotoka,
 wote wameoza pamoja;
 hakuna atendaye mema,
 naam, hakuna hata mmoja.”
 
    Copyright information for
    
SwhNEN